Leo katika mapishi hapa Njoo Tupike , twajifunza jinsi ya kumwandaa
kuku wa kuchoma kwa oven ( na sio lazima kwa oven hata kwa jiko la
kawaida) cha muhimu ni yale maandalizi ( marination)
MAHITAJI
Vegetable oil
Vitunguu swaumu
Kitunguu maji kimoja kidogo / kipande tu
chumvi
Dried Oregano
Tangawizi
Pilipili
Chicken...
Burger Tamu
Test our burger.
Viazi vya kuponda
Simple but health food.
Choma Choma
We have variety of choma style.
Mlo ChapChap
Chapchap food Style.
Thursday, September 4, 2014
3:33 AM by njootupikeNo comments
Naam leo nakuonyesha njia rahisi sana ya kutengeneza biskuti nzuri na
tamu sana kwa kutumia mahitaji matatu tu. Ni pishi rahisi sana na
waweza kutumia jiko la oven au jiko la mkaa wa kawaida.
MAHITAJI
Mafuta ya Butter au Blue Band kiasi ya robo kg
Sukari ile laini robo
Na Unga wa baking (All purpose flour)
NAMNA...
3:17 AM by njootupikeNo comments

MAHITAJI
Nyama robo
Ndizi mzuzu mbichi 5
Vitungu maji na swaumu
Giligilani vijani vichache
Rosemary vijani vichache
Bay vijani vichache
Chumvi
Olive oil kijiko cha mezani kimoja
Chills – kama watumia
Karoti moja
Black pepper
KUPIKA
Kwanza
chemsha nyama – sasa wakati wachemsha nyama weka chumvi, bay,...
3:06 AM by njootupike1 comment

Najua tumezoa yale mapishi ya ndizi nyama, ni vema ujaribu pishi hili la
samaki – yaani prawns na king fish- Ni pishi tamu sana na rahisi sana
kulipika.
MAHITAJI
Ndizi
Prawns
KingFish
Vitunguu Maji na swaumu
Rosemary leaves
Bay leaves
Nazi tui moja zito
Black pepper
Chumvi
Olive Oil
Chill...
Subscribe to:
Posts (Atom)